Wanakuja rappers "Team Brainiac" wakiwa wamemshirikisha "Hisia" aliyekuwa mshiriki Tusker Project Fame 2014 katika chorus ya wimbo wao kwa jina "Broke All Day" ikiwa imerekodiwa pande za Noizmekah Studios Arusha, Bofya HAPA kuisikiliza/download na kwa mawasiliano zaidi wacheki "Team Brainiacs" kwa simu nambari +255 719 364 148 na +255 714 299 499

No comments: