Wimbo wa Dancehall toka kwa Msanii "Raja" aka Ray akiwa amemshirikisha "Brian" maarufu zaidi kama Young Omega toka River Camp katika chorus na Verse pia, Ngoma inakwenda kwa jina la "Spesho" kutoka kwa @defxtro studio za Noizmekah Arusha, kwa mahojiano/Mawasiliano zaidi check na RAJA kwa Nambari +255 758 094 181

No comments: