Msanii Chipukizi "Salmin aka Salu" akiwa amewashirikisha Kajoli Masai pamoja na Pnc na Ngoma Inakwenda Kwa Jina "Team mjengoni" na ni ngoma toka Hisia Records Temeke Dar-Es-Salaam, Bofya HAPA kuisikiliza/Kuipakua na kwa Mawasiliano Zaidi check na Salmin Kupitia +255 763 924 931
No comments: